Ninayo furaha kukutangazia kuwa baada ya kusubiri kwa muda mrefu, uchambuzi ulio fanywa na idara ya ajira paradise sanitarium clinic, inatoa matokeo kama ifuatavyo:-
maombi tuliyopokea
tumepokea maombi mbalimbali kutoka pande zote za africa mashariki(Tanzania, Kenya, na Uganda). jumla ya maombi tuliyopokea ni 347, ikiwa;- mwanza (23), tarime(70), musoma(15), bunda(8), dodoma(31), iringa(5), dar es salam(19), arusha(40), tabora(53), shinyanga(36), nairobi(17), simiyu(20), uganda(3), kagera,geita na bukoba(15).
waliochaguliwa
1.Happymachus Kimasha kutoka Tabora (herbs supply)
2.Joseph Sinda kutoka Serengeti (herbs supply)
3.Martha peter kutoka Tarime (herbs supply)
4.Evans Jacob Kutoka Arusha (clinical office)
5.Naomi Melizedeki kutoka Musoma(herbs supply)
6.Daniel Nyangira kutoka Tarime (herbs suplly)
7.Ladyanna Jacob kutoka Mwanza (reception)
8.Carolina Ojode kutoka Bunda (reception)
9.Thomas John kutoka Nairob (clinical office)
wote waliochaguliwa wafike ofisini tarehe mosi, July, aidha wale ambao hawajapata nafasi na wangependa kupata wafuatilie second selection mapema mwezi wa nane.
No comments:
Post a Comment