Tuesday, 7 June 2016

MOYO KUPANUKA



.MOYO KUPANUKA                                                     
         Huu ni ukinzani wa moyo jinsi unavyo toa na kuingiza damu katika mishipa ya moyo na kuelekea sehemu zingine kwenye mwili.
         Mara nyingi moyo ukipanuka hupelekea baadhi ya sehemu kwenye misuri ya moyo kutokufikiwa na damu, hivyo kusababisha tundu kwenye moyo au kidonda cha moyo na baadaye stroko.

SABABU ZA MOYO KUPANUKA
Vifuatazo ni visababishi vya moyo kupanuka;-
1.     mafuta katika damu
2.     cholesterol/ lehemu                                     
3.     sumu mwilini
4.     ukosefu wa protini
5.     msongo wa mawazo
6.     magonjwa ya muda mrefu
7.     shinikizo la juu la damu

DALILI ZA MOYO KUPANUKA
Ili utambue moyo buliokwisha panuka ni muhimu kuzijua dalili zifuatazo;-
·        mapigo ya moyo kwenda kasi mara kadhaa
·        moyo kulipuka mara kwa mara
·        kuhisi hali ya mwili kunyong’onyea/ kupoteza nguvu
·        miguu kuwa baridi au kufa ganzi
·        wakati mwingine vidole kufa ganzi na kukakamaa
·        maumivu kwenye moyo (heart pain)
·        vichomi na kifua kubana
·        maumivu kwenye chemba ya moyo

MADHARA YA MOYO KUPANUKA
Yafuatayo ni madhara ya moyo uliopanuka;.-
·        kuvimba miguu
·        miguu kufa ganzi
·        kupalalaizi/stroko
·        kidonda kwenye moyo
·        usipotibu na kuchukua tahadhari mapema husababisha vifo

JINSI YA KUEPUKA TATIZO HILI
1.     Kuepuka ulaji wa nyama, mayai, maziwa ambavyo huongeza mafuta kwa wingi.
2.     usile vyakula vya kusindikwa vina chemicals na lehemu nyingi
3.     epuka mafuta ya korie, ok na yote yatokanayo na wanyama
4.     tumia mafuta ya mimea kama alizeti, karanga, nazi, mawese nk ila kwa kiasi kidogo
5.     punguza msongo wa mawazo, fanya mazoezi kwa muda wa dakika 30 kwa siku asubuhi na jioni
6.     kula mboga za majani kwa wingi(not dead food)
7.     usitumie sukari, na chumvi isitumike kwa wingi

TIBA YA TATIZO HILI
    Kuna mimea mingi inahusika na kutibu tatizo hili, kama vile mziwaziwa, kitunguu swaumu, nsese(kisukuma), aloe, mwicha na mingine mingi. ili kujipatia dawa ilioandaliwa kwa uhakika tafadhali fika kwenye clinic zetu kupata tiba ushauri na uponyaji.

No comments:

Post a Comment