Friday, 3 June 2016







NAZI
Maji ya nazi yanatibu kipindupindu
UBORA
Maji ya nazi ya kijani ni baridi, inafurahisha, na inasafisha mkojo. Inarekebisha  rngi ya mkojo na kutibu kiu. Wakati nazi haijaiva uzalishwaji wa kiini cha ndani haujafanyika , maji yake yanakuwa sio matamu, na machachu. Maji yake yanakuwa matamu kama kiini cha ndani kimetokea. Sukari ambayo ipo ndani ya maji yanafyonzwa kwa urahisi. Ni salama kwa sababu ni asilia, na haina vijidudu.
Uchambuzi wa vilivyomo
Maji                              95.5%
Sodium                          105mg/100gm
potassium                      312mg/100gm
calcium                          29mg/100gm
magnesium                       30mg/100gm
chuma                              0.1mg/100gm
copper                              0.04mg/100gm
Phosphorous                    37mg/100gm
sulphur                        24mg/100grams
chlorine                       183/100grams
vitamin B cokmplex             0.64mg/100gm
pantothenic acid                  0.52mg/100gm
biotin                            0.02 mg/100gm
riboflavin                    0.01 mg/100g
pyrodoxin                      very small amount/100gm
nazi ya kijani ni chanzo kizuri cha madini chumvi na vitamin B complex
Matumizi
Maji ya Nazi ya kijani inavitu vilivyoainisha hapo juu na vitamin. Kadri kokwa linavyokomaa inaiva na kuwa ya njano, taratibu inapoteza viini lishe muhimu. Hivyo maji ya nazi kijani ndio inatakiwa kusisitizwa kwa kunywa. Vitamin C isiyokuwepo kwenye maji ya nazi unaweza kuipata kwa kuongea juisi kidogo tu ya limao.
Faida
·        Maji ya kijani ya nazi yanasaidia matatizo ya mkojo na na vimawe figo(kidney stone)
·        Inafaa sana kwa kipindupindu. Wakati wa kutapika na kuhara mwili unapoteza maji na madini muhimu. Kwa wakati mwingine hii ni hatari. Kwa njia hiyo maji ya nazi yanatoa maji na chumvi kwenye mwili.
·        Maji ya nazi ni kinga ya bacteria, inawaua wadudu wa chorela kutoka kwenye utumbo.
·        Vitamin B complex iliyopo kwenye maji ya nazi inaimarisha moyo na neva za fahamu na mfumo wa mmeng’enyo.
Wanasayansi kutoka shula ya tropical medicine wnaamini kuwa maji ya nazi yana potassium ya asili ni bora ikiingizwa chumvi potassium wakati wa kutibu chorela

No comments:

Post a Comment